Monday, April 15, 2013

Dkt. Shain Azindua nyumba za walimu Zanzibar.

shain1 480a8
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akikata utepe kuifungua Nyumba ya Walimu Skuli ya Kusini Makunduchi, iliyojengwa na Jumuiya ya ya Maendeleo ya Makunduchi Mzuri kaja,kwa ushirikiano na Jumuiya ya Bus 4 Afrika,yenye Makao Makuu yake nchini Sweden
shain2 d10b3
Mwakilishi wa Jumuiya ya Bus 4 Afrika yenye Makao Makuu yake Nchini Sweden Bibi Hannah Mc Carrick,akitoa salam wakati wa Sherehe ya Ufunguzi wa Nyumba ya Walimu Skuli ya Kusini Makunduchi,iliyojengwa na Jumuiya hiyo na Ushirikiano wa Jumuiya ya Maendeleo ya Makunduchi Mzuri kaja, iliyofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein



shain4 ad49a
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Ali Juma Shamuhuna akimkaribisha Dkt. Shain kuzungumza na wananchi kwenye uzinduzi huo.

shain3 b6028
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Wananchi na Wanajumuiya ya Maendeleo ya Makunduchi Mzuri kaja,Wilaya ya Kusini Unguja, wakati wa Sherehe ya Ufunguzi wa Nyumba ya Walimu Skuli ya Kusini Makunduchi, iliyojengwa na Jumuiya ya ya Maendeleo ya Makunduchi Mzuri kaja,kwa ushirikiano na Jumuiya ya Bus 4 Afrika ya Sweden. 

Picha na Ramadhan Othman, IKULU-Zanzibar.

CHANZO/MjengwaBlogs.

No comments:

Post a Comment