Thursday, April 25, 2013

MAAJABU YA MATUNDA NI TIBA ILIYODHARAULIKA.


Karoti ina protini kidogo na haina mafuta kama tulivyoona kwa tunda la avocado.pia ina asili ya wanga , na ni chanzo cha vitamini B, C, na E. Aitha ina madini mengi ikiwemo madini ya chuma. 
 
kuna kitu kinaitwa beta-coratine ambayo imo ndani ya karoti na hii ikiingia mwilini inabadilishwa na kuwa vitamina A. 
 
Vilevile karoti ina kirutubisho kinachoitwa fiber ambacho ni muhimu kwa kinga  ya kuta za tumbo.
     
Karoti inasaidia kukinga na kuponya magonjwa kama macho hasa kutoona gizani au kwenye mwanga hafifu,ngozi,kupunguza tindikali inayodhuru tumbo na kukinga magonjwa yenye asili ya kansa.
 
Karoti inaweza kuliwa kwa namna mbalimbali kama vile ikiwa mbichi kwa kutafunwa, inaweza kupikwa na kuchanganywa na mbogamboga zingine , inaweza na kupata juisi ambayo pia inaweza kuchanganywa na juisi zingine, aidha kukatwakatwa na kuchanganywa kwenye saladi ya matunda na mbogamboga. 
 
Machicha ya karoti iliyosagwa yanaweza kutumika kama dawa kukinga ama kuponya maradhi ya nje ya mwili.
                                                       JUISI YA KAROTI
  MAEMBE NI MUHIMU KATIKA KUTENGENEZA SELI ZA DAMU NA KUZILINDA NA BAKTERIA
MACHUNGWA NA JAMII YAKE YANAUWEZO MKUBWA WA KIMARISHA MENO NA MIFUPA 
PARACHICHI LINASAIDIA NGOZI KUWA NA KINGA YA MAGONJWA SHAMBULIZI KUPITIA NGOZI KAMA MBA NA INASAIDIA NYELE KUWA IMARA NA KUREKEBISHA MAFUTA(CHOLESTEROL)


 
KOKOMANGA NI TUNDA LENYE UWEZO MKUBWA KUPAMBANA NA KANSA ZA AINA ZOTE MWILINI.

  NYANYA NI KINGA NZURI YA INI LISIARIBIA AU KUSHAMBULIWA NA BAKTERIA


        NDIZI MBIVU NDIO TUNDA PEKEE DUNIANI LENYE UWEZO WA KUPAMBANA NA VIRUSI VYA UKIMWI 


ZABIBU LINAUWEZO MKUBWA KATIKA KUONGEZA DAMU MWILINI NA KUONGEZA NGUVU WAKATI WA UZEE SIKU ZAKO MAISHA DUNIANI ZIKAONGEZEKA.


                                                     ONYO

  • EPUKA KUNYA JUISI ZA VIWANDANI HAZITENGENEZWI NA MATUNDA HALISI BALI NI KEMIKALI KALI KWA AJILI LA LADHA NA HARUFU YA TUNDA ZINAMADHARA KATIKA MWILI WA BINADAMU KAMA KANSA, INI KUHARIBIKA, DAMU KUWA NA SUMU, ZINAPUNGUZA UMRI WA KUISHI, TAKE CARE JIPENDE KWA KULA NA KUNYA  KILICHO BORA.

No comments:

Post a Comment