Monday, December 31, 2012

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AMTEMBELEA BABA YAKE HOSPITALI YA MUHIMBILI MOI.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimjulia hali Baba yake mzazi Mzee Savere Kayanza Pinda ambaye amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili  kitengo cha Moi Mzee Mizengo yupo hospitalini hapo baada ya kufanyiwa upasuaji kutokana na tatizo la nyonga kulia kwa Waziri Mkuu ni muguzi mkuu wa zamu wodi hiyo, Edna Mhina  na kushoto kwa waziri mkuu ni  Donatila Kwelukila ambaye ni ofisa muuguzi chumba cha wagonjwa mahututi.

No comments:

Post a Comment