Friday, January 4, 2013

MIAKA 49 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR, NA SHAMRA SHAMRA ZAKE......

Wafanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar wakifanya usafi katika maeneo ya Ofisi yao Rahaleo mjini Zanzibar ikiwa ni shamra shamra za kuazimisha miaka 49 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo kilele cha sherehe hizo ni January 12.


Wafanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar wakifanya usafi katika maeneo ya Ofisi yao Rahaleo mjini Zanzibar ikiwa ni shamra shamra za kuazimisha miaka 49 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo kilele cha sherehe hizo ni January 12.


No comments:

Post a Comment