Kamishna
wa Idara ya Sera ya manunuzi ya umma kutoka wizara ya Fedha Dk.
Frederick Mwakibinga (kulia) akiongea jambo na Clemence Tesha ambaye ni
mjumbe wa kamati ya sera ya manunuzi wakati wa kongamano la kujadili
rasimu ya sera ya manunuzi ya umma lililofanyika hivi karibuni jijini
Dar es Salaam. Kongamano hilo la siku moja lilihudhuliwa na wajumbe
mbalimbali kutoka ofisi za Serikali na Taasisi binafsi.PICHA NA ANNA NKINDA
CHANZO/MjengwaBlogs
No comments:
Post a Comment