Friday, March 1, 2013

LINEX AMVISHA PETE MCHUMBA WAKE AMBAYE NI MZUNGU.

Weekend hii, mtu mzima Sunday Mjeda aka Linex aka Mr VOA (Voice Of Africa),alifanya yake kwa kumvisha pete mpenzi wake, ambae ni  ambae ni  mwenyeji wa Finland anaeitwa Suvi.


 According to sources Linex aliamua kufanya kimya kimya tena wakiwa wawili tu, kwasababu hakutaka kujionyesha, na anaamini ile ni kitu  very personal haikuhitaji manjonjo mengi.

Well hongera zao na tunawatakia kila la kheri.
Mambo ya madini 

Full kuringishia madini!!

Wifi yetu katika pose

Wapendanoooooooo safi sana
                                                  

No comments:

Post a Comment