Saturday, March 2, 2013

MKAZI WA IRINGA ACHOMWA MOTO KWA KUIBA PAMPU YA SH. 25,000.

Baba Mzazi wa kijana Paul mzee Raphael Mtekele ( wa tatu kushoto akiwa ameshika kiono )baada ya kukuta mwili wa mwanae umechomwa moto na wananchi wenye asila kali.

Mwili wa kijana Paul Raphael Mtekele ukiwa umefunikwa baada ya kuteketezwa kwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya kutuhumiwa kuiba pampu ya kupulizia dawa mazao ya shilingi 25,000 katika kitongoji cha Tosamaganga B wilaya ya Iringa vijijini usiku wa kuamkia leo

No comments:

Post a Comment